Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha kuhani atachukua damu hiyo na kumnyunyizia mara saba mtu anayejitakasa ukoma wake na kumtangaza kuwa safi, halafu atamwachilia ndege aliye hai aende zake mashambani.+

  • Mambo ya Walawi 14:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Kisha atamwachilia ndege aliye hai aende zake mashambani nje ya jiji, naye ataitolea nyumba hiyo dhabihu ya kufunika dhambi, nayo itakuwa safi.

  • Mambo ya Walawi 16:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Haruni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha mbuzi huyo aliye hai na kuungama juu yake makosa yote ya Waisraeli na maovu yao yote na dhambi zao zote, ataziweka juu ya kichwa cha mbuzi+ huyo na kumwagiza mtu aliyechaguliwa* ampeleke mbuzi huyo nyikani. 22 Mbuzi huyo atazibeba dhambi zao zote+ na kuzipeleka jangwani,+ mtu huyo atampeleka mbuzi huyo na kumwacha aende zake nyikani.+

  • Isaya 53:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa kweli yeye mwenyewe aliyabeba magonjwa yetu,+

      Na kujitwika maumivu yetu.+

      Lakini tulimwona kama mtu aliyepata mapigo, aliyepigwa na Mungu na kuteswa.

  • Waroma 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe,+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki