Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Haruni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha mbuzi huyo aliye hai na kuungama juu yake makosa yote ya Waisraeli na maovu yao yote na dhambi zao zote, ataziweka juu ya kichwa cha mbuzi+ huyo na kumwagiza mtu aliyechaguliwa* ampeleke mbuzi huyo nyikani. 22 Mbuzi huyo atazibeba dhambi zao zote+ na kuzipeleka jangwani,+ mtu huyo atampeleka mbuzi huyo na kumwacha aende zake nyikani.+

  • 1 Petro 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tufe kuhusiana* na dhambi na tuishi kuhusiana na uadilifu. Na “kwa vidonda vyake mliponywa.”+

  • 1 Yohana 2:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia mambo haya ili msitende dhambi. Na bado, yeyote akitenda dhambi, tuna msaidizi* kwa Baba, Yesu Kristo,+ mtu mwadilifu.+ 2 Naye ni dhabihu ya upatanisho*+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya dhambi zetu tu bali pia dhambi za ulimwengu wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki