Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sisi sote tumeenda huku na huku kama kondoo;+ sisi tumegeuka kwenda kila mmoja kwenye njia yake; na Yehova amefanya kosa letu sote likutane na huyo.+

  • Marko 10:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa,+ bali kuhudumu na kutoa nafsi yake iwe fidia+ badala ya wengi.”+

  • Waebrania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 lakini tunamwona Yesu, ambaye alikuwa amefanywa kuwa mdogo kidogo kuliko malaika,+ amevikwa taji la utukufu+ na heshima kwa kupatwa na kifo,+ ili kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu aonje kifo kwa ajili ya kila mwanadamu.+

  • Waebrania 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 lakini ndani ya chumba cha pili kuhani mkuu peke yake huingia mara moja kwa mwaka,+ wala si bila damu,+ ambayo yeye huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi za hali ya watu+ ya kutojua.

  • Waebrania 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+

  • 1 Yohana 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+

  • Ufunuo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “Mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+

      Kwake yeye anayetupenda+ na aliyetufungua kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki