17 “Hakuna mtu mwingine yeyote anayepaswa kuwa ndani ya hema la mkutano kuanzia wakati Haruni anapoingia mahali patakatifu kutoa dhabihu ya kufunika dhambi, mpaka anapotoka nje. Atatoa dhabihu ya kufunika dhambi zake mwenyewe na za nyumba yake+ na za kusanyiko lote la Waisraeli.+