Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 10:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake uwe* fidia badala ya wengi.”+

  • Waebrania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini tunamwona Yesu, aliyefanywa kuwa mdogo kidogo kuliko malaika,+ sasa amevikwa taji la utukufu na heshima kwa kupatwa na kifo,+ ili kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu aonje kifo kwa ajili ya kila mtu.+

  • Waebrania 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Tofauti na makuhani hao wakuu, hahitaji kutoa dhabihu kila siku,+ kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe kisha kwa ajili ya dhambi za watu,+ kwa sababu alifanya hivyo mara moja kwa wakati wote alipojitoa mwenyewe.+

  • Waebrania 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 lakini kuhani mkuu huingia ndani ya chumba cha pili akiwa peke yake mara moja kwa mwaka,+ akiwa na damu,+ ambayo huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi ambazo watu+ walifanya bila kujua.

  • Waebrania 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Aliingia mahali patakatifu, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe dume wachanga, bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote, na kupata ukombozi wa* milele kwa ajili yetu.+

  • Ufunuo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+

      Yeye anayetupenda+ na aliyetuweka huru kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki