17 “Na mtu mwingine yeyote asiwemo katika hema la mkutano tangu anapoingia ndani ili kufanya upatanisho mpaka atakapotoka nje; naye atafanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya nyumba yake na kwa ajili ya kutaniko lote la wana wa Israeli.+