Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Unioshe kabisa kutokana na kosa langu,+

      Na kunitakasa kutokana na dhambi yangu.+

  • Yeremia 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitawatakasa kutoka katika kosa lao lote ambalo kupitia hilo wamenitendea dhambi,+ nami nitayasamehe makosa yao yote ambayo kupitia hayo wamenitendea dhambi na ambayo kupitia hayo wamenikosea.+

  • Ezekieli 36:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawasafisha ninyi kutokana na uchafu+ wenu wote na kutokana na sanamu zenu zote za mavi.+

  • Waefeso 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ili alitakase,+ akilisafisha na kuliosha kwa maji kwa njia ya neno,+

  • Waebrania 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai?

  • Waebrania 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kama sivyo, je, dhabihu hazingekoma kutolewa, kwa sababu wale wanaotoa utumishi mtakatifu ambao walikuwa wamesafishwa mara moja kwa wakati wote hawangekuwa na ufahamu wa dhambi tena?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki