Mambo ya Walawi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+ Mambo ya Walawi 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa akamleta karibu kondoo-dume wa toleo la kuteketezwa, naye Haruni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha kondoo huyo.+
3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
18 Sasa akamleta karibu kondoo-dume wa toleo la kuteketezwa, naye Haruni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha kondoo huyo.+