Mambo ya Walawi 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Hivi ndivyo vitu ambavyo Haruni anapaswa kuleta anapoingia mahali patakatifu: ng’ombe dume mchanga kwa ajili ya dhabihu ya dhambi+ na kondoo dume kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+
3 “Hivi ndivyo vitu ambavyo Haruni anapaswa kuleta anapoingia mahali patakatifu: ng’ombe dume mchanga kwa ajili ya dhabihu ya dhambi+ na kondoo dume kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+