Yohana 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa katikati yetu, nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule ulio wa mwana mzaliwa-pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa fadhili nyingi zisizostahiliwa na kweli.+ Yohana 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo. Yohana 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+
14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa katikati yetu, nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule ulio wa mwana mzaliwa-pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa fadhili nyingi zisizostahiliwa na kweli.+
17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo.
6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+