Yohana 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+ 1 Yohana 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa jambo hili tutajua kwamba sisi tunatokana na kweli,+ nasi tutaihakikishia mioyo yetu mbele zake 1 Yohana 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sisi tunatokana na Mungu.+ Yeye ambaye anamjua Mungu hutusikiliza;+ yeye ambaye hatokani na Mungu hatusikilizi.+ Hivi ndivyo tunavyojua neno la kweli lililoongozwa na roho na neno lenye kosa lililoongozwa na roho.+
19 Kwa jambo hili tutajua kwamba sisi tunatokana na kweli,+ nasi tutaihakikishia mioyo yetu mbele zake
6 Sisi tunatokana na Mungu.+ Yeye ambaye anamjua Mungu hutusikiliza;+ yeye ambaye hatokani na Mungu hatusikilizi.+ Hivi ndivyo tunavyojua neno la kweli lililoongozwa na roho na neno lenye kosa lililoongozwa na roho.+