Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+

  • Zaburi 78:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Nao wakaendelea kumtia uchungu kwa mahali pao pa juu,+

      Nao wakaendelea kumchochea awe na wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.+

  • Isaya 57:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 wale wanaojiwasha tamaa kati ya miti mikubwa,+ chini ya kila mti wenye majani mengi,+ wakiwaua watoto katika mabonde ya mito chini ya mipasuko ya miamba?+

  • Yeremia 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Kwa maana zamani nilivunja nira yako vipande-vipande;+ nilizikata pingu zako. Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,” kwa maana ulikuwa umelala huku umejinyoosha+ juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi,+ ukifanya ukahaba.+

  • Yeremia 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Inua macho yako kuelekea mapito yaliyokanyagwa, ukaone.+ Ni wapi ambapo hawakukulala kinguvu?+ Umekaa kando ya njia kwa ajili yao, kama Mwarabu nyikani;+ nawe unaendelea kuitia nchi unajisi kwa matendo yako ya ukahaba na kwa ubaya wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki