-
1 Wafalme 12:28-30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+ 29 Kisha akamweka ndama mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+ 30 Na jambo hilo likawafanya watende dhambi,+ watu wakaenda mpaka Dani kuabudu ndama aliyekuwa huko.
-
-
1 Wafalme 21:25, 26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Kwa kweli, hajawahi kamwe kutokea mtu yeyote kama Ahabu,+ aliyeazimia kabisa* kutenda maovu machoni pa Yehova, akichochewa na Yezebeli mke wake.+ 26 Alitenda kwa njia yenye kuchukiza kabisa kwa kufuata sanamu zenye kuchukiza,* kama Waamori wote walivyokuwa wamefanya, ambao Yehova aliwafukuza kutoka mbele ya Waisraeli.’”+
-