Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 10:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Lakini Yehu hakuwa mwangalifu kutembea katika Sheria ya Yehova Mungu wa Israeli kwa moyo wake wote.+ Hakugeuka na kuacha dhambi ambazo Yeroboamu alisababisha Waisraeli kutenda.+

  • 2 Wafalme 17:21-23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Aliwararua Waisraeli kutoka katika nyumba ya Daudi, nao wakamweka Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme.+ Lakini Yeroboamu akasababisha Waisraeli wapotoke na kuacha kumfuata Yehova, naye akasababisha watende dhambi kubwa. 22 Na Waisraeli wakaendelea kufuata dhambi zote ambazo Yeroboamu alitenda.+ Hawakuziacha 23 mpaka Yehova alipowaondoa Waisraeli kutoka mbele zake, kama alivyokuwa amesema kupitia watumishi wake wote manabii.+ Kwa hiyo Waisraeli wakaondolewa katika nchi yao na kupelekwa uhamishoni kule Ashuru,+ nao wangali huko hadi leo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki