Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 “Laana hizi zote+ hakika zitawajia na kuwafuatia na kuwatangulia mpaka mtakapokuwa mmeangamizwa,+ kwa sababu hamkuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kushika amri zake na sheria zake alizowaamuru.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 “Na kama Yehova alivyopendezwa wakati mmoja kuwafanikisha na kuwafanya mwongezeke, ndivyo Yehova atakavyopendezwa kuwaharibu na kuwaangamiza; nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayokaribia kuimiliki.

  • 1 Wafalme 14:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye atawaacha Waisraeli kwa sababu ya dhambi ambazo Yeroboamu alitenda na kusababisha Waisraeli kuzitenda.”+

  • Hosea 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha Yehova akamwambia Hosea: “Mpe mwana huyo jina Yezreeli,* kwa sababu baada ya muda mfupi tu nitaifanya nyumba ya Yehu+ iwajibike kwa sababu ya matendo ya umwagaji wa damu ya Yezreeli, nami nitaukomesha utawala wa wafalme wa Israeli.+

  • Amosi 5:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nami nitawapeleka uhamishoni mbali kupita Damasko,’+ anasema yeye ambaye jina lake ni Yehova Mungu wa majeshi.”+

  • Mika 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitafanya Samaria kuwa rundo la magofu la shambani,

      Mahali pa kupanda mizabibu;

      Nitayatupa* mawe yake chini bondeni,

      Nami nitaichimbua misingi yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki