Mika 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitalifanya Samaria kuwa rundo la mabomoko ya shambani,+ mahali pa kupanda mizabibu; nami nitamwaga mawe yake katika bonde, na misingi yake nitaifunua.+ Mika Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:6 “Kila Andiko,” uku. 156 Mnara wa Mlinzi,2/15/1988, uku. 27
6 Nami nitalifanya Samaria kuwa rundo la mabomoko ya shambani,+ mahali pa kupanda mizabibu; nami nitamwaga mawe yake katika bonde, na misingi yake nitaifunua.+