26 “Tazameni, leo ninaweka mbele yenu baraka na laana:+ 27 baraka, ikiwa mtatii amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi leo,+ 28 na laana, ikiwa hamtatii amri za Yehova Mungu wenu+ na mkigeuka kutoka katika njia ninayowaamuru mfuate leo na mkifuata miungu mingine ambayo hamjaijua.