Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 28:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+

  • Yoshua 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+

  • 1 Samweli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye akasafiri mwaka baada ya mwaka na kufanya mzunguko wa Betheli+ na Gilgali+ na Mispa+ na kuhukumu Israeli+ katika sehemu hizo zote.

  • 1 Wafalme 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kisha akaweka mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki