Mwanzo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+ Yoshua 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+ 1 Samweli 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akasafiri mwaka baada ya mwaka na kufanya mzunguko wa Betheli+ na Gilgali+ na Mispa+ na kuhukumu Israeli+ katika sehemu hizo zote. 1 Wafalme 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kisha akaweka mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+
19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+
16 Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+
16 Naye akasafiri mwaka baada ya mwaka na kufanya mzunguko wa Betheli+ na Gilgali+ na Mispa+ na kuhukumu Israeli+ katika sehemu hizo zote.