Mambo ya Walawi 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Sasa ikiwa mtamtolea Yehova dhabihu ya ushirika,+ mtaitoa ili mjipatie kibali.+ Kumbukumbu la Torati 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+
6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+