Kumbukumbu la Torati 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+ Zaburi 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwogopeni Yehova, enyi watakatifu wake,+Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+
13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+