2 Wafalme 17:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini mnapaswa kumwogopa Yehova, aliyewatoa nchini Misri kwa nguvu nyingi na kwa mkono ulionyooshwa,+ Yeye ndiye mnayepaswa kumwogopa,+ nanyi mnapaswa kumwinamia yeye, nanyi mnapaswa kumtolea yeye dhabihu.
36 Lakini mnapaswa kumwogopa Yehova, aliyewatoa nchini Misri kwa nguvu nyingi na kwa mkono ulionyooshwa,+ Yeye ndiye mnayepaswa kumwogopa,+ nanyi mnapaswa kumwinamia yeye, nanyi mnapaswa kumtolea yeye dhabihu.