2 Wafalme 17:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini Yehova, aliyewapandisha ninyi kutoka katika nchi ya Misri kwa nguvu kubwa na kwa mkono ulionyooshwa,+ Yeye ndiye mnayepaswa kuogopa,+ nanyi mnapaswa kumwinamia+ yeye, nanyi mnapaswa kumtolea yeye dhabihu.+
36 Lakini Yehova, aliyewapandisha ninyi kutoka katika nchi ya Misri kwa nguvu kubwa na kwa mkono ulionyooshwa,+ Yeye ndiye mnayepaswa kuogopa,+ nanyi mnapaswa kumwinamia+ yeye, nanyi mnapaswa kumtolea yeye dhabihu.+