Kutoka 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na wanawe wawili,+ ambao jina la mmoja wao lilikuwa Gershomu,+ “kwa sababu,” akasema, “nimekuwa mkaaji mgeni katika nchi ya kigeni”; 1 Mambo ya Nyakati 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wana wa Musa walikuwa Gershomu+ na Eliezeri.+
3 na wanawe wawili,+ ambao jina la mmoja wao lilikuwa Gershomu,+ “kwa sababu,” akasema, “nimekuwa mkaaji mgeni katika nchi ya kigeni”;