1 Mambo ya Nyakati 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo akawakusanya wakuu+ wote wa Israeli na makuhani+ na Walawi.+ 1 Mambo ya Nyakati 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa habari ya Walawi, Ahiya alikuwa juu ya hazina+ za nyumba ya Mungu wa kweli na juu ya hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu.+
20 Kwa habari ya Walawi, Ahiya alikuwa juu ya hazina+ za nyumba ya Mungu wa kweli na juu ya hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu.+