4 Ndipo akawaweka baadhi ya Walawi+ mbele ya sanduku la Yehova wawe wahudumu;+ ili wakumbushe+ na pia wamshukuru+ na kumsifu+ Yehova, Mungu wa Israeli,
37 Kisha akawaacha hapo Asafu+ na ndugu zake mbele ya sanduku la agano la Yehova ili wahudumu+ daima mbele ya lile Sanduku, kulingana na takwa la kila siku;+