2 Samweli 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo wakaliingiza ndani sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova. Zaburi 132:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzika milele;+Nitakaa hapa, kwa maana nimepatamani.+
17 Kwa hiyo wakaliingiza ndani sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.