12 Ndipo Walawi+ wakasimama, Mahathi mwana wa Amasai na Yoeli mwana wa Azaria wa wana wa Wakohathi;+ na kutoka kwa wana wa Merari,+ Kishi mwana wa Abdi na Azaria mwana wa Yehaleleli; na kutoka kwa Wagershoni,+ Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;