Hesabu 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Wana wa Kohathi+ kati ya wana wa Lawi watahesabiwa, kulingana na familia zao katika nyumba ya baba zao, 1 Mambo ya Nyakati 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 wa wana wa Kohathi, Urieli+ mkuu na ndugu zake, 120; 1 Mambo ya Nyakati 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wana wa Kohathi+ walikuwa Amramu, Ishari,+ Hebroni+ na Uzieli,+ wanne.
2 “Wana wa Kohathi+ kati ya wana wa Lawi watahesabiwa, kulingana na familia zao katika nyumba ya baba zao,