34 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Sasa wakati huu mume wangu atajiunga nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akaitwa jina lake Lawi.+
16 Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi,+ kulingana na ukoo wa familia yao:+ Gershoni na Kohathi na Merari.+ Nayo miaka ya maisha ya Lawi ilikuwa miaka 137.