25 Lakini ikawa kwamba siku ya tatu walipokuwa wakiumwa,+ wale wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi,+ ndugu za Dina,+ wakachukua kila mmoja wao upanga wake, wakaenda bila kutazamiwa kwenye jiji hilo na kumuua kila mwanamume.+
16 Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi,+ kulingana na ukoo wa familia yao:+ Gershoni na Kohathi na Merari.+ Nayo miaka ya maisha ya Lawi ilikuwa miaka 137.
12 “Mimi nami, tazama! nawachukua Walawi kutoka katikati ya wana wa Israeli badala ya wazaliwa wa kwanza+ wote wanaofungua tumbo la uzazi la wana wa Israeli; nao Walawi watakuwa wangu.