33 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza,+ kwa kuwa nilichukiwa na kwa hiyo akanipa huyu pia.” Ndipo akamwita jina lake Simeoni.+
34 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Sasa wakati huu mume wangu atajiunga nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akaitwa jina lake Lawi.+