Mwanzo 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Raheli akasema: “Mungu ametenda kama mwamuzi+ wangu na pia ameisikiliza sauti yangu, akanipa mwana.” Ndiyo sababu alimwita jina lake Dani.+ Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+
6 Ndipo Raheli akasema: “Mungu ametenda kama mwamuzi+ wangu na pia ameisikiliza sauti yangu, akanipa mwana.” Ndiyo sababu alimwita jina lake Dani.+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+