Mwanzo 34:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini ikawa kwamba siku ya tatu walipokuwa wakiumwa,+ wale wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi,+ ndugu za Dina,+ wakachukua kila mmoja wao upanga wake, wakaenda bila kutazamiwa kwenye jiji hilo na kumuua kila mwanamume.+ Mwanzo 42:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi akajitenga nao, akaanza kulia.+ Kisha akarudi kwao, akaongea nao, akamchukua Simeoni+ kati yao na kumfunga mbele ya macho yao.+ Mwanzo 49:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Simeoni na Lawi ni ndugu.+ Silaha zao za kuchinjia ni vyombo vya jeuri.+ 1 Mambo ya Nyakati 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wana wa Simeoni walikuwa Nemueli+ na Yamini,+ Yaribu, Zera, Shauli,+ Ufunuo 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kutoka kabila la Simeoni+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Lawi+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Isakari+ kumi na mbili elfu;
25 Lakini ikawa kwamba siku ya tatu walipokuwa wakiumwa,+ wale wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi,+ ndugu za Dina,+ wakachukua kila mmoja wao upanga wake, wakaenda bila kutazamiwa kwenye jiji hilo na kumuua kila mwanamume.+
24 Basi akajitenga nao, akaanza kulia.+ Kisha akarudi kwao, akaongea nao, akamchukua Simeoni+ kati yao na kumfunga mbele ya macho yao.+
7 kutoka kabila la Simeoni+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Lawi+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Isakari+ kumi na mbili elfu;