Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 34:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini ikawa kwamba siku ya tatu walipokuwa wakiumwa,+ wale wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi,+ ndugu za Dina,+ wakachukua kila mmoja wao upanga wake, wakaenda bila kutazamiwa kwenye jiji hilo na kumuua kila mwanamume.+

  • Mwanzo 42:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi akajitenga nao, akaanza kulia.+ Kisha akarudi kwao, akaongea nao, akamchukua Simeoni+ kati yao na kumfunga mbele ya macho yao.+

  • Mwanzo 49:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Simeoni na Lawi ni ndugu.+ Silaha zao za kuchinjia ni vyombo vya jeuri.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Wana wa Simeoni walikuwa Nemueli+ na Yamini,+ Yaribu, Zera, Shauli,+

  • Ufunuo 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kutoka kabila la Simeoni+ kumi na mbili elfu;

      kutoka kabila la Lawi+ kumi na mbili elfu;

      kutoka kabila la Isakari+ kumi na mbili elfu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki