Mwanzo 42:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ikiwa ninyi ni wanyoofu, acheni mmoja wa ndugu zenu afungwe katika nyumba yenu ya kifungo,+ lakini ninyi wengine mwende, chukueni nafaka kwa sababu ya njaa iliyo katika nyumba zenu.+ Mwanzo 49:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Simeoni na Lawi ni ndugu.+ Silaha zao za kuchinjia ni vyombo vya jeuri.+
19 Ikiwa ninyi ni wanyoofu, acheni mmoja wa ndugu zenu afungwe katika nyumba yenu ya kifungo,+ lakini ninyi wengine mwende, chukueni nafaka kwa sababu ya njaa iliyo katika nyumba zenu.+