Mwanzo 29:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Sasa wakati huu mume wangu atajiunga nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akaitwa jina lake Lawi.+ 1 Mambo ya Nyakati 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni,+ Kohathi+ na Merari.+
34 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Sasa wakati huu mume wangu atajiunga nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akaitwa jina lake Lawi.+