16Na Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaondoka, pamoja na Dathani+ na Abiramu+ wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wana wa Rubeni.+
10 Ndipo dunia ikafungua kinywa chake na kuwameza.+ Naye Kora, alikufa kwenye kifo cha kusanyiko wakati ambapo moto uliwateketeza watu 250.+ Nao wakaja kuwa mfano.+
11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+