Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao wana wa Eliabu: Nemueli na Dathani na Abiramu. Dathani+ huyu na Abiramu+ walikuwa watu walioitwa na kusanyiko, ambao walipambana na Musa na Haruni katika kusanyiko la Kora,+ walipopambana na Yehova.

  • Hesabu 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Baba yetu alikufa nyikani,+ wala hakuwa katikati ya lile kusanyiko, yaani, wale waliojipanga dhidi ya Yehova katika kusanyiko la Kora,+ bali alikufa kutokana na dhambi yake mwenyewe;+ naye hakuwa na wana wowote wa kiume.

  • Yuda 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki