9 Nao wana wa Eliabu: Nemueli na Dathani na Abiramu. Dathani+ huyu na Abiramu+ walikuwa watu walioitwa na kusanyiko, ambao walipambana na Musa na Haruni katika kusanyiko la Kora,+ walipopambana na Yehova.
3 “Baba yetu alikufa nyikani,+ wala hakuwa katikati ya lile kusanyiko, yaani, wale waliojipanga dhidi ya Yehova katika kusanyiko la Kora,+ bali alikufa kutokana na dhambi yake mwenyewe;+ naye hakuwa na wana wowote wa kiume.
11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+