Hesabu 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani, na Abiramu. Huyu ndiye Dathani na Abiramu, wakuu wa Waisraeli ambao walimpinga Musa+ na Haruni na kujiunga na kikundi cha Kora+ kilichompinga Yehova.+
9 Na wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani, na Abiramu. Huyu ndiye Dathani na Abiramu, wakuu wa Waisraeli ambao walimpinga Musa+ na Haruni na kujiunga na kikundi cha Kora+ kilichompinga Yehova.+