Hesabu 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao wana wa Eliabu: Nemueli na Dathani na Abiramu. Dathani+ huyu na Abiramu+ walikuwa watu walioitwa na kusanyiko, ambao walipambana na Musa na Haruni katika kusanyiko la Kora,+ walipopambana na Yehova.
9 Nao wana wa Eliabu: Nemueli na Dathani na Abiramu. Dathani+ huyu na Abiramu+ walikuwa watu walioitwa na kusanyiko, ambao walipambana na Musa na Haruni katika kusanyiko la Kora,+ walipopambana na Yehova.