Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaondoka, pamoja na Dathani+ na Abiramu+ wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wana wa Rubeni.+

  • Hesabu 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baadaye Musa akatuma watu wawaite Dathani na Abiramu+ wana wa Eliabu, lakini wakasema: “Sisi hatutakuja!+

  • Hesabu 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Wakaondoka mara moja kutoka mbele ya maskani ya Kora, Dathani na Abiramu, kutoka pande zote, nao Dathani na Abiramu wakatoka nje, wakasimama kwenye mwingilio wa mahema yao,+ pamoja na wake zao, na wana wao na watoto wao wadogo.

  • Zaburi 106:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha dunia ikafunguka na kummeza Dathani,+

      Na kulifunika kusanyiko la Abiramu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki