16Na Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaondoka, pamoja na Dathani+ na Abiramu+ wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wana wa Rubeni.+
27 Wakaondoka mara moja kutoka mbele ya maskani ya Kora, Dathani na Abiramu, kutoka pande zote, nao Dathani na Abiramu wakatoka nje, wakasimama kwenye mwingilio wa mahema yao,+ pamoja na wake zao, na wana wao na watoto wao wadogo.