5 Kisha akamwambia Kora na watu wote waliomuunga mkono, “Asubuhi Yehova ataonyesha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu na ni nani anayepaswa kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ ndiye atakayemkaribia.
19 Kora alipokuwa amewakusanya watu wote waliomuunga mkono+ kwenye mlango wa hema la mkutano ili kumpinga Musa na Haruni, utukufu wa Yehova ukawatokea watu wote waliokusanyika.+
6 wala mambo aliyowatendea Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu mwana wa Rubeni, dunia ilipofunguka na kuwameza wao pamoja na familia zao na mahema yao na kila kiumbe aliye hai aliyewafuata, mbele ya macho ya Waisraeli wote.+