Hesabu 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mlango wa hema la mkutano, akamwita Haruni na Miriamu. Wote wawili wakaenda mbele. Hesabu 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, Waisraeli wote wakasema wapigwe mawe.+ Lakini utukufu wa Yehova ukatokea juu ya hema la mkutano machoni pa Waisraeli wote.+
5 Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mlango wa hema la mkutano, akamwita Haruni na Miriamu. Wote wawili wakaenda mbele.
10 Hata hivyo, Waisraeli wote wakasema wapigwe mawe.+ Lakini utukufu wa Yehova ukatokea juu ya hema la mkutano machoni pa Waisraeli wote.+