Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 naam, vyetezo vya wanaume hao waliozitendea dhambi nafsi zao wenyewe.+ Nao watavifanya viwe mabamba membamba ya madini ya kutanda madhabahu,+ kwa sababu walivitoa mbele za Yehova, hivi kwamba vikawa vitakatifu; navyo vitakuwa ishara kwa wana wa Israeli.’”+

  • Ezekieli 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitauelekeza uso wangu juu ya mtu huyo+ na kumweka awe ishara+ na maneno ya kimethali,+ nami nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wangu;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’+

  • 1 Wakorintho 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+

  • 2 Petro 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu aliyahukumia adhabu,+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu juu ya mambo yatakayokuja;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki