Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo akasema na Kora na kusanyiko lake lote, na kuwaambia: “Asubuhi Yehova atajulisha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu+ na ni nani anayeweza kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ huyo atamkaribia.

  • Hesabu 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Yehova akamwambia Musa: “Irudishe fimbo+ ya Haruni mbele ya Ushuhuda huo iwe kitu cha kuwekwa kama ishara+ kwa wana wa uasi,+ ili manung’uniko yao yakome juu yangu, wasije wakafa.”

  • Hesabu 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo dunia ikafungua kinywa chake na kuwameza.+ Naye Kora, alikufa kwenye kifo cha kusanyiko wakati ambapo moto uliwateketeza watu 250.+ Nao wakaja kuwa mfano.+

  • 1 Timotheo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki