5 Ndipo akasema na Kora na kusanyiko lake lote, na kuwaambia: “Asubuhi Yehova atajulisha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu+ na ni nani anayeweza kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ huyo atamkaribia.
10 Basi Yehova akamwambia Musa: “Irudishe fimbo+ ya Haruni mbele ya Ushuhuda huo iwe kitu cha kuwekwa kama ishara+ kwa wana wa uasi,+ ili manung’uniko yao yakome juu yangu, wasije wakafa.”
10 Ndipo dunia ikafungua kinywa chake na kuwameza.+ Naye Kora, alikufa kwenye kifo cha kusanyiko wakati ambapo moto uliwateketeza watu 250.+ Nao wakaja kuwa mfano.+