1 Wafalme 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akaapa kwa Yehova, akisema: “Mungu na anitendee hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa Adoniya hakusema jambo hili dhidi ya nafsi yake mwenyewe.+ Methali 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini anayekosa kunipata anaifanyia nafsi yake jeuri;+ wale wote wanaonichukia vikali ndio wanaopenda kifo.”+
23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akaapa kwa Yehova, akisema: “Mungu na anitendee hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa Adoniya hakusema jambo hili dhidi ya nafsi yake mwenyewe.+
36 Lakini anayekosa kunipata anaifanyia nafsi yake jeuri;+ wale wote wanaonichukia vikali ndio wanaopenda kifo.”+