Hesabu 16:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Vyetezo vya wanaume waliouawa kwa sababu ya dhambi yao vinapaswa kunyooshwa ili viwe mabamba membamba ya kufunika madhabahu,+ kwa sababu walivipeleka mbele za Yehova, navyo vikawa vitakatifu. Vinapaswa kuwa onyo kwa Waisraeli.”+
38 Vyetezo vya wanaume waliouawa kwa sababu ya dhambi yao vinapaswa kunyooshwa ili viwe mabamba membamba ya kufunika madhabahu,+ kwa sababu walivipeleka mbele za Yehova, navyo vikawa vitakatifu. Vinapaswa kuwa onyo kwa Waisraeli.”+