5 Kisha akamwambia Kora na watu wote waliomuunga mkono, “Asubuhi Yehova ataonyesha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu na ni nani anayepaswa kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ ndiye atakayemkaribia.
10 Halafu Yehova akamwambia Musa, “Irudishe fimbo ya Haruni+ mbele ya sanduku la Ushahidi ili iwekwe kuwa onyo+ kwa wana wa kuasi,+ ili manung’uniko yao dhidi yangu yakome na ili wasife.”