Hesabu 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, wana wa Kora hawakufa.+ 1 Mambo ya Nyakati 6:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na hawa ndio ambao Daudi+ aliwapa vyeo kwa ajili ya kuongoza uimbaji katika nyumba ya Yehova baada ya Sanduku kupata mahali pa kupumzika.+ 1 Mambo ya Nyakati 6:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu,+ mwana wa Kora,+
31 Na hawa ndio ambao Daudi+ aliwapa vyeo kwa ajili ya kuongoza uimbaji katika nyumba ya Yehova baada ya Sanduku kupata mahali pa kupumzika.+