Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye atamfanya huyo ng’ombe-dume kama alivyomfanya yule ng’ombe mwingine wa toleo la dhambi. Hivyo ndivyo atakavyomfanya; naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yao, ndipo watasamehewa.

  • Mambo ya Walawi 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana nafsi ya mwili iko katika damu,+ nami mwenyewe nimeiweka juu ya madhabahu ili ninyi mfanye upatanisho+ kwa ajili ya nafsi zenu, kwa sababu damu+ ndiyo hufanya upatanisho+ kupitia nafsi iliyo ndani yake.

  • Hesabu 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili ya kusanyiko lote la wana wa Israeli, nao watasamehewa; kwa sababu lilikuwa kosa ambalo hawakukusudia,+ nao walileta mbele za Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto kwa Yehova na toleo lao la dhambi kwa ajili ya kosa lao ambalo hawakukusudia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki