Hesabu 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na wana wa Merari+ kulingana na familia zao walikuwa Mali+ na Mushi.+ Hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi kulingana na nyumba ya baba zao. 1 Mambo ya Nyakati 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wana wa Merari+ walikuwa Mali na Mushi.+ Wana wa Mali walikuwa Eleazari+ na Kishi.
20 Na wana wa Merari+ kulingana na familia zao walikuwa Mali+ na Mushi.+ Hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi kulingana na nyumba ya baba zao.